Share to:

 

Abasia

Abasia ya Monte Cassino iliyoanzishwa na Benedikto wa Nursia

Abasia ni aina ya monasteri katika Kanisa Katoliki ambayo inaongozwa na abati au abesi na inajitegemea kufuatana na Sheria za Kanisa.

Abasia inaweza kuwa na monasteri ndogo chini yake zinazoongozwa na priori aliye chini ya usimamizi wa abati.

Information related to Abasia

Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya